Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 42:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Yakobo alipopata habari kwamba kulikuwa ngano kule Misri, akawaambia wana wake: “Mbona munaikaa mukiangaliana tu?

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 42:1
13 Referans Kwoze  

Yakobo alipopata habari kwamba kuna ngano katika Misri, akawatuma babu zetu kule mara ya kwanza.


Yawe akamwambia Yoshua: “Simama! Mbona umejitupa chini hivyo?


Lakini walitambua kuwa Mungu amenipatia kazi ya kuhubiri Habari Njema kwa watu wa mataifa mengine sawa alivyomupatia Petro kazi ya kuihubiri kwa Wayuda.


Watu wa Efuraimu walipogundua ugonjwa wao, watu wa Yuda walipogundua kidonda chao, watu wa Efuraimu walikwenda Asuria kuomba musaada kwa mufalme mukubwa; lakini yeye hakuweza kuwatunza, hakuweza kuponyesha kidonda chao.


Watu wanauliza: Kwa nini sisi tunakaa tu hapa? Tukusanyike, tuingie katika miji yenye kuzungukwa na kuta, tuangamie kule! Yawe, Mungu wetu, amekusudia tuangamie, ametupa maji yenye sumu tukunywe, kwa sababu tumemukosea yeye.


Amuka utende, sisi tutakuunga mukono. Kwa hiyo ujipe moyo ufanye hivyo.”


Elia akakimbilia katika muji wa Beri-Seba katika jimbo la Yuda, kule alikomwacha mutumishi wake,


Watu waliposikia ngurumo na kuona umeme ukiwaka na kusikia sauti ya baragumu juu ya mulima uliokuwa unafuka moshi, wote wakaogopa na kutetemeka. Wote wakasimama mbali,


Basi, wale wasimamizi wa Waisraeli sasa walijiona kuwa katika taabu, maana waliambiwa: “Hamutapunguza hata kidogo hesabu ya matofali ya kila siku.”


Nimesikia kwamba Misri kuna ngano. Muende kule mununue ngano tusikufe na njaa.”


Zaidi ya hayo, watu toka kila pahali katika dunia walikuja Misri kwa Yosefu kununua ngano, maana njaa ilikuwa kali katika dunia yote.


Ikaanza miaka saba ya njaa kama vile Yosefu alivyokuwa amesema pale mbele. Inchi zingine zote zikakuwa na njaa, lakini inchi yote ya Misri ilikuwa na chakula.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite