3 Halafu, nyuma ya wale, ngombe wengine saba waliokonda sana wakatoka katika muto Nili, wakakuja na kusimama karibu na wale ngombe wazuri na wanono, kando ya muto.
Wale ngombe waliokonda sana wakakula wale wengine saba wazuri na wanono. Hapo mufalme akaamuka toka usingizi.
akaona ngombe saba wazuri na wanono wakitoka ndani ya muto na kula nyasi.
Hao wakafuatwa na ngombe wengine saba zaifu, wembamba na wamekonda sana. Mimi sijapata kuona ngombe wa hali hiyo katika inchi ya Misri.
Magoti yangu yanaregea kwa ajili ya kufunga kula chakula; nimebaki mifupa na ngozi.