2 akaona ngombe saba wazuri na wanono wakitoka ndani ya muto na kula nyasi.
Mifereji yake itatoa harufu mbaya, vijito vyake vitapunguka na kukauka. Nyasi na matete yake yataoza.
Ilipofika mwisho wa miaka miwili mizima, mufalme wa Misri akaota ndoto: alijikuta amesimama kando ya muto Nili,
Halafu, nyuma ya wale, ngombe wengine saba waliokonda sana wakatoka katika muto Nili, wakakuja na kusimama karibu na wale ngombe wazuri na wanono, kando ya muto.
nikaona ngombe saba wazuri na wanono wakitoka katika muto na kula nyasi.
Nyasi zinaota tu penye tingitingi, matete yanastawi pahali panapokuwa maji.
Sehemu za kandokando ya Nili zitakuwa tupu. Mimea yote iliyopandwa humo itakauka na kupeperushiwa mbali na kutoweka.