Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 41:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Basi, kijana mumoja Mwebrania, mutumishi wa jemadari wa waaskari walinzi, alikuwa pamoja nasi katika kifungo. Tulipomwelezea ndoto zetu, yeye aliweza kutuelezea kila mumoja wetu kulingana na ndoto yake.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 41:12
5 Referans Kwoze  

Wakati ule, kule Misri, wale Wamidiani wakamwuzisha Yosefu kwa mutu anayeitwa Potifari, mumoja wa wakubwa wa mufalme wa Misri, ambaye alikuwa mukubwa wa waaskari walinzi.


Akamutwaa Yosefu na kumutia katika kifungo, pahali wafungwa wa mufalme walipokuwa. Lakini hata mule katika kifungo,


Basi, Yosefu aliposhushwa kwenda mpaka Misri, Mumisri mumoja anayeitwa Potifari ambaye alikuwa jemadari wa mufalme wa Misri na mukubwa wa waaskari walinzi, akamununua kutoka kwa Waisimaeli waliomuleta Misri.


Mungu aliwajalia vijana wale wane maarifa na ujuzi katika elimu na hekima. Zaidi ya hayo, alimujalia Danieli ufahamu wa kufasiria maono na ndoto.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite