Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 40:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Mukubwa wa waaskari walinzi akachagua Yosefu awatumikie. Nao wakakuwa katika kifungo kwa muda fulani.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 40:4
7 Referans Kwoze  

Umutolee Yawe maisha yako, umutumainie yeye, naye atakufanyia kitu.


Basi, Yosefu aliposhushwa kwenda mpaka Misri, Mumisri mumoja anayeitwa Potifari ambaye alikuwa jemadari wa mufalme wa Misri na mukubwa wa waaskari walinzi, akamununua kutoka kwa Waisimaeli waliomuleta Misri.


Wakati ule, kule Misri, wale Wamidiani wakamwuzisha Yosefu kwa mutu anayeitwa Potifari, mumoja wa wakubwa wa mufalme wa Misri, ambaye alikuwa mukubwa wa waaskari walinzi.


akawafungia ndani ya nyumba ya mukubwa wa waaskari walinzi, katika kifungo, pahali Yosefu alipofungwa.


Basi, usiku mumoja, yule mutunza vinywaji mukubwa na yule mupishi mukubwa wa mukate wa mufalme, waliota ndoto mule ndani ya gereza, kila mumoja na ndoto yake tofauti.


Kisha akawatia wote katika kifungo kwa muda wa siku tatu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite