Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 40:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 akawafungia ndani ya nyumba ya mukubwa wa waaskari walinzi, katika kifungo, pahali Yosefu alipofungwa.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 40:3
6 Referans Kwoze  

Akamutwaa Yosefu na kumutia katika kifungo, pahali wafungwa wa mufalme walipokuwa. Lakini hata mule katika kifungo,


Yule mukubwa wa kifungo hakujishugulisha tena na kitu chochote Yosefu alichopewa kwa maana Yawe alikuwa pamoja na Yosefu na kufanikisha kila kitu alichofanya.


Basi, Yosefu aliposhushwa kwenda mpaka Misri, Mumisri mumoja anayeitwa Potifari ambaye alikuwa jemadari wa mufalme wa Misri na mukubwa wa waaskari walinzi, akamununua kutoka kwa Waisimaeli waliomuleta Misri.


Hivyo mukubwa wa kifungo akamuweka Yosefu akuwe mukubwa wa wafungwa wote mule katika kifungo. Kila kitu kilichofanyika mule kilifanywa kwa mamlaka yake.


Mukubwa wa waaskari walinzi akachagua Yosefu awatumikie. Nao wakakuwa katika kifungo kwa muda fulani.


Wakati ule ulipotukasirikia sisi watumishi wako, mimi na mupishi mukubwa wa mikate, ulitufungia ndani ya nyumba ya mukubwa wa waaskari walinzi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite