Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 40:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 nao ulikuwa na matawi matatu. Mara tu ulipoanza kuchipuka majani, maua yake yakachanua na vishada vyake vikakuwa zabibu zenye kukomaa.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 40:10
5 Referans Kwoze  

Mutunza vinywaji mukubwa wa mufalme akamwelezea Yosefu ndoto yake, akisema: “Katika ndoto yangu niliona muzabibu mbele yangu,


Katika mikono yangu nilikuwa na kikombe cha mufalme, basi, nikatwaa zabibu, nikazikamua katika kikombe kile, nikamupa mufalme.”


Musa na Haruni wakakwenda, wakasimama mbele ya hema la mukutano,


Nimeingia katika bustani ya miti ya lozi, kuangalia vichipukizi katika bonde, kuona kama mizabibu imechanua, na mikomamanga imechanua maua.


Lakini Herode aliposikia habari zile, akasema: “Ni yule Yoane Mubatizaji niliyemukata kichwa ndiye amefufuka!”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite