Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 4:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Adamu akalala tena na Eva muke wake, naye akazaa mutoto mwanaume, akamwita Seti akisema: “Mungu amenijalia mutoto pahali pa Abeli aliyeuawa na Kaina.”

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 4:25
7 Referans Kwoze  

Kisha Kaina akasemezana na ndugu yake Abeli. Basi, walipokuwa katika shamba, Kaina akamushambulia ndugu yake Abeli, akamwua.


Hawa ndio babu wa kwanza waliofuatana kwa kila kizazi: Adamu Seti Enosi Kenani Mahalaleli Yaredi Hanoki Metusela Lameki Noa Wana wa Noa walikuwa: Semu, Hamu na Yafeti.


Wakati Seti alipokuwa na umri wa miaka mia moja na mitano, akazaa Enosi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite