Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 4:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Lameki akaoa wanawake wawili, mumoja aliitwa Ada na mwingine Sila.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 4:19
8 Referans Kwoze  

Ndiyo maana mwanaume anamwacha baba yake na mama yake, na kuambatana na muke wake, nao wawili wanakuwa mwili mumoja.


Yesu akawajibu: “Musa aliwapa ninyi ruhusa ya kuachana na wake wenu kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu. Lakini haikuamuriwa vile tangu mwanzo.


Kisha Yawe Mungu akasema: “Si vizuri huyu mwanaume kuwa peke yake. Nitamufanyia musaidizi wa kumufaa.”


Enoki akazaa Iradi, naye Iradi akazaa Mehuyaeli, naye Mehuyaeli akazaa Metusaeli, naye Metusaeli akazaa Lameki.


Ada akazaa Yabali ambaye alikuwa baba ya wafugaji wanaoishi katika mahema.


Lameki akawaambia wake zake: “Ada na Sila musikie sauti yangu! Musikilize maneno ninayosema enyi wake za Lameki. Maana niliua mutu kwa sababu ya kunipiga, nilimwua kijana kwa kuniumiza.


Yoyada akamwoea wake wawili, nao wakamuzalia wana na wabinti.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite