Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 39:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Basi, nyuma ya muda fulani, muke wa Potifari akamutamani Yosefu na kumwambia: “Lala na mimi”.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 39:7
19 Referans Kwoze  

Hapo, alipokuwa anamupatia mikate ile, Amunoni alimukamata na kumwambia: “Kuja ulale nami.”


Macho yao yanajaa uzinzi. Wao hawachoki kufanya zambi. Wanavuta watu wasiokamilika. Wanatawaliwa na tamaa za kupata mali. Watu hao wamelaaniwa!


Katika ukahaba wako haukufanya kama wanawake wengine: hakuna aliyekubembeleza kusudi uzini naye lakini wewe ulilipa feza pahali pa kulipwa.


Kwa maana kila kitu kinachokuwa katika dunia, kama vile tamaa ya kimwili, tamaa ya macho, na majivuno ya maisha, hivi vyote havitoki kwa Baba, lakini vinatoka katika dunia.


Lakini mimi ninawaambia: mutu yeyote anayemwangalia mwanamuke kwa kumutamani, amekwisha kuzini naye ndani ya moyo wake.


Ulikuwa kama muke muzinzi anayekaribisha wageni pahali pa mume wake.


Nimejizuiza kabisa mimi mwenyewe, macho yangu yasimwangalie binti kwa tamaa.


Kwa mwanzo wa kila barabara ulijijengea nafasi inayoinuka, ukautumia uzuri wako kwa kufanya uzinzi ukijitoa kwa kila mupita njia na kuongeza uzinzi wako.


Ndiyo maana manyunyu yamezuizwa kuanguka, wala mvua za mwisho hazijanyesha. Hata hivyo unakausha macho kama kahaba, wala hauna haya hata kidogo.


Alimukumbatia kijana yule na kumubusu, na kwa maneno matamu, akamwambia:


kusudi usiwape wengine heshima yako, na watenda mabaya miaka yako,


Utaepukana na mwanamuke mwasherati, mwanamuke kahaba wa maneno matamu,


Uniepushe nisifuate mambo ya ovyo; unionyeshe njia yako, unipe uzima.


wana wa Mungu wakaona kwamba wale wabinti za watu ni wazuri, wakawatwaa wale waliowapendeza kuwa wake zao.


Mwana wangu, usikubali kushawishiwa na wenye zambi.


Mutu anapoteza kipande cha mukate kwa kahaba, lakini mwanamuke muzinzi atapoteza uzima wako wote.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite