Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 39:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Yule mwanamuke akaendelea kumushawishi Yosefu siku kwa siku, lakini Yosefu hakumusikiliza wala kukubali kulala naye.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 39:10
21 Referans Kwoze  

Lakini Yosefu akakataa na kumwambia yule muke wa bwana wake: “Sikiliza! Bwana wangu amenipa mamlaka juu ya kila kitu hapa ndani ya nyumba na hajishugulishi na kitu chochote tena.


Wapendwa wangu, ninawasihi ninyi, kama vile wageni na wasafiri hapa katika dunia, muepuke tamaa za mwili zinazopigana na roho.


Ujiepushe na tamaa za ujana, utafute kuishi katika haki, imani, upendo na amani pamoja na watu wote wanaomwabudu Bwana kwa moyo safi.


Muepuke ubaya wa kila namna.


Musidanganyike: “Warafiki wabaya wanaharibu tabia nzuri za watu.”


Muepuke uzinzi! Zambi ingine yoyote mutu anayofanya haigusi mwili wake, lakini yule anayefanya uzinzi anafanya zambi juu ya mwili wake mwenyewe.


Kahaba ni kama shimo refu; mwanamuke mugeni ni kama kisima chembamba.


Kinywa cha mwasherati ni shimo refu; anayechukiwa na Yawe atatumbukia ndani yake.


Vitakulinda mbali na mwanamuke mubaya, vitakuepusha na maneno matamu ya mwanamuke mugeni.


Uepushe njia yako mbali naye, wala usiukaribie mulango wa nyumba yake,


Midomo ya mwanamuke mupotovu ni mitamu kama asali, maneno yake ni laini kuliko mafuta;


Utaepukana na mwanamuke mwasherati, mwanamuke kahaba wa maneno matamu,


Wewe mwana wangu usiandamane nao, uzuie muguu wako usifuatane nao.


“Yeyote anayekuwa mujinga akuje hapa!” Na yeyote anayekuwa mupumbafu anamwambia:


Anaikaa kitako kwenye mulango wa nyumba yake, anaweka kiti chake pahali pa juu katika muji,


Alimukumbatia kijana yule na kumubusu, na kwa maneno matamu, akamwambia:


Kwa sababu hiyo, ninataka wajane wanaokuwa wangali vijana waolewe, wazae watoto na kutunza nyumba zao, kusudi waadui wasipate nafasi ya kutuchongea.


Hapa ndani ya nyumba yeye hana madaraka kuliko mimi. Yeye hakunikataza kushika chochote isipokuwa wewe tu kwa sababu wewe ni muke wake. Nitaweza namna gani basi kufanya uovu mubaya kama ule na kumukosea Mungu?”


Siku moja, Yosefu akaingia ndani ya nyumba kufanya kazi yake kama kawaida, na watumishi wengine hawakukuwa ndani ya nyumba.


Yeye anavizia kama munyanganyi, anasababisha wanaume wengi kukosa uaminifu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite