Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 37:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Israeli alimupenda Yosefu kuliko watoto wake wote kwa sababu alikuwa amezaliwa wakati wa uzee wake. Alimupa Yosefu kanzu nzuri sana.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 37:3
10 Referans Kwoze  

Amunoni na yule kijana wakamutosha inje na kufunga mulango kwa kifungio. Tamari alikuwa amevaa kanzu ndefu yenye mikono mirefu maana hivi ndivyo mabikira wa mufalme walivyovaa zamani.


Kisha wakamupelekea baba yao ile kanzu, wakamwambia: “Tumeokota kanzu hii. Uangalie kama ni ya mwana wako, au hapana.”


Yosefu alipowafikia wandugu zake, wao wakamvua kanzu yake.


Baba anamupenda Mwana wake, naye ameweka vitu vyote kwa mukono wake.


Ulitwaa sehemu ya nguo zako, ukaitumia kwa kupamba pahali pako pa kutambikia na hapo ndipo ukafanyia uzinzi wako. Jambo la namna hiyo halijapata kutokea wala halitatokea hata kidogo!


‘Bila shaka wanatafuta na kugawanyana vitu: binti mumoja au wawili kwa kila askari, nguo ya sufu ya rangi kwa ajili ya Sisera, nguo ya sufu iliyopindwa vizuri, na mikufu miwili yenye kufumwa kwa ajili ya shingo yangu!’


Basi, wakachinja mbuzi, wakaitwaa kanzu ya Yosefu na kuichovya katika damu ya yule mbuzi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite