Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 34:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Yakobo akapata habari kwamba Sekemu amemuchafua binti yake Dina; lakini kwa sababu wana wake walikuwa pamoja na nyama kwenye malisho, akanyamaza mpaka waliporudi.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 34:5
13 Referans Kwoze  

Abusaloma alimuchukia Amunoni sana hata hakusema naye, kwa sababu alimukamata dada yake Tamari kwa kinguvu, akalala naye.


Lakini akamujibu baba yake: ‘Ninakutumikia kwa miaka mingi na sijakukosea hata mara moja. Ingawa vile haujanipatia hata kitoto cha mbuzi kusudi nifurahi pamoja na warafiki zangu.


“Kwa wakati ule, mwana wake wa kwanza alikuwa kwenye mashamba. Alipokuwa akirudia na kukaribia nyumba, akasikia sauti ya watu wakiimba na kucheza.


Ingawa Daudi mara kwa mara alikwenda kwa Saulo, alirudi kwenda Betelehemu kuchunga kondoo wa baba yake.


Halafu akamwambia: “Wana wako wote wako hapa?” Yese akajibu: “Hapana, kungali mudogo wa hawa wote, lakini amekwenda kuchunga kondoo.” Samweli akamwambia: “Utume mutu amulete. Sisi hatutaikaa chini, mpaka atakapokuja hapa.”


Lakini watu wengine wasiofaa kitu, walisema: “Mutu huyu anaweza kutuokoa?” Walimuzarau Saulo na hawakumupa zawadi yoyote. Lakini yeye hakukasirika.


Kwa hiyo, Musa akamwambia Haruni: Kwa tukio hili Yawe amekuonyesha maana ya kile alichosema: Nitajionyesha kuwa mutakatifu kati ya wale wanaokuwa karibu nami, nitatukuzwa mbele ya watu wote! Haruni akanyamaza kimya.


Lakini siku hiyohiyo Labani akakwenda akatenga beberu wote wenye mistari na madoadoa, mbuzi wote dike waliokuwa na madoadoa na matakamataka, kila nyama aliyekuwa na weupe kwenye mwili wake, na kila kondoo mweusi, akawaweka chini ya ulinzi wa wana wake.


Uniokoe katika makosa yangu yote; usikubali wapumbafu wanichekelee.


Kwa hiyo, Sekemu akazungumuza na Hamori baba yake, akamwambia: “Unitwalie binti huyo kuwa muke wangu.”


Hamori, baba ya Sekemu, akakwenda kwa Yakobo kusudi azungumuze naye,


Museme: ‘Bwana, sisi watumishi wako, ni wafugaji wa nyama tangu utoto wetu mpaka leo, maana ndivyo babu zetu walivyokuwa.’ Museme hivyo kusudi muruhusiwe kukaa katika eneo la Goseni.” Yosefu alisema hivyo kwa sababu kwa Wamisri wachungaji wote wa kondoo ni chukizo.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite