16 Kwa hiyo tutawaoeshea wabinti zetu na kuwaoa wabinti zenu. Tutaishi pamoja nanyi na kuwa jamaa moja.
Tutakubaliana nanyi tu kwa sharti hili: kwamba mutakuwa kama sisi kwa kumutahiri kila mwanaume kati yenu.
Lakini musipokubaliana nasi na kutahiriwa, basi, sisi tutamutwaa binti yetu na kujiendea yetu.”
Hivyo Isaka akamwita Yakobo, akamubariki, akamwagiza akisema: “Usioe mwanamuke yeyote Mukanana.