Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 34:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Vilevile, Sekemu akawaambia baba na wandugu za Dina: “Ninataka kukubaliwa mbele yenu, nami nitawapa ninyi chochote mutakachosema.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 34:11
5 Referans Kwoze  

Esau akasema: “Heri nikuachie sehemu ya watu wangu.” Lakini Yakobo akasema: “Kuna sababu gani ya kufanya hivyo? Inanitosha kwamba mimi nimepata kukubaliwa mbele yako, ewe bwana wangu.”


na kusema: “Bwana wangu, nikipata kukubaliwa mbele yako, tafazali usinipite mimi mutumishi wako lakini ushinde kwangu.


Kwa hiyo mutaishi pamoja nasi; mutakuwa huru katika inchi hii. Mutaishi humu, mufanye biashara na kujipatia mali.”


Muniombe mali na zawadi, hata ikiwa kikubwa namna gani, nami nitatoa, kufuatana na jinsi mutakavyoniambia. Lakini munipatie tu binti huyu kuwa muke wangu.”


Nina ngombe, punda, makundi ya kondoo, watumwa na wajakazi. Ninakutumia ujumbe huu, bwana wangu, kusudi nipate kukubaliwa mbele yako.’ ”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite