Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 34:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Siku moja Dina, binti ya Yakobo na Lea, akakwenda kuwatembelea wanawake wa inchi hiyo.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 34:1
10 Referans Kwoze  

Kisha akazaa mutoto mwanamuke, akamwita Dina.


Kwa nini unaniachilia hivi, ukibadilishabadilisha mwenendo wako? Utafezeheshwa na Misri kama ulivyofezeheshwa na Asuria.


Na zaidi ya hiyo, wanashikwa na uvivu na kuwa na tabia ya kutangatanga nyumba kwa nyumba. Na si ile tu, vilevile wao ni wakatetea na wenye kujiingiza katika maneno ya watu wengine na kusema maneno yasiyofaa.


Hao ndio wana ambao Lea alimuzalia Yakobo kule Padani-Aramu, pamoja na Dina binti yake. Jumla ya wana wake, wabinti zake na wajukuu wake walikuwa watu makumi tatu na watatu.


Lea akasema: “Bahati njema! Sasa wanawake wataniita heri.” Kwa hiyo akamwita mutoto yule Aseri.


Esau akatambua kwamba Isaka alibariki Yakobo na kumutuma aende kuoa kule Padani-Aramu, na kwamba alipomubariki, alimukataza asioe mwanamuke Mukanana.


Rebeka akamwambia Isaka: “Sina raha kabisa katika maisha kwa sababu ya hawa wanawake Wahiti wa Esau. Ikiwa Yakobo ataoa mumoja wa wanawake hawa Wahiti, maisha yangu yana faida gani?”


Esau alipokuwa na umri wa miaka makumi ine, akaoa wake wawili Wahiti: Yuditi binti ya Beri na Basemati binti ya Eloni.


na kuwa wenye utaratibu, wenye maisha safi, wenye kutunza nyumba zao vizuri, wema na wenye kutii waume wao, kusudi Neno la Mungu lisitukaniwe.


Basi, akajenga mazabahu pahali pale na kuiita “Mungu ni Mungu wa Israeli”.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite