Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 30:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Lea alipoona ameacha kuzaa, alimutwaa Zilpa, mujakazi wake, na kumupa Yakobo kusudi akuwe muke wake.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 30:9
8 Referans Kwoze  

Kwa hiyo Rakeli akamupa Yakobo mujakazi wake, Biliha akuwe muke wake, naye akalala naye.


Mungu akasikiliza ombi la Lea, naye akapata mimba na kumuzalia Yakobo mutoto wa tano mwanaume.


Lea akapata mimba tena, akazaa mutoto mwanaume, akamwita Yuda, akisema: “Mara hii nitamusifu Yawe.” Kisha Lea akaacha kuzaa.


Kisha, Sarai akamupa Abramu Hagari, mujakazi wake Mumisri, akuwe muke wake. Haya yalitokea nyuma ya Abramu kukaa katika inchi ya Kanana kwa muda wa miaka kumi.


Halafu Rakeli akasema: “Nimepigana mapigano makubwa na dada yangu, nami nimeshinda.” Kwa hiyo akamwita mutoto yule Nafutali.


Zilpa akamuzalia Yakobo mutoto mwanaume.


(Labani akamutoa Zilpa, mujakazi wake, akuwe mutumishi wa Lea.)


Hawa kumi na sita ni wazao wa Yakobo na Zilpa, mujakazi ambaye Labani alimupa binti yake Lea.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite