Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 30:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Halafu Rakeli akasema: “Nimepigana mapigano makubwa na dada yangu, nami nimeshinda.” Kwa hiyo akamwita mutoto yule Nafutali.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 30:8
12 Referans Kwoze  

Yeye akatoka Nazareti, akaenda kukaa Kapernaumu, pembeni ya ziwa la Galilaya, katika wilaya ya Zebuluni na ya Nafutali, kusudi yatimie


“Nafutali ni kama pongo anayekuwa huru, anayezaa watoto wanaokuwa wazuri.


Kulikuwa hofu kubwa katika kambi ya Wafilistini. Wote walianza kufazaika: waaskari katika kambi, watu katika mashamba kwenye kambi, hata na washambulizi. Inchi ilitetemeka. Hofu ilikuwa kubwa sana.


Juu ya kabila la Nafutali akasema: “Ee Nafutali uliyeshibishwa upendeleo, uliyejaa baraka za Yawe, inchi yako ni mpaka kwenye ziwa Kinereti na upande wake wa kusini.”


Mumwombe Yawe maana ngurumo hii na mvua ya mawe vimezidi. Mimi nitawaacha muondoke na wala hamutabakia tena.”


Nafutali na wana wake: Yaseli, Guni, Yeseri na Silemu.


Wana waliozaliwa na Biliha, mujakazi wa Rakeli, walikuwa Dani na Nafutali.


“Ee bwana wetu, usikilize; wewe ni kiongozi mukubwa kati yetu. Umuzike marehemu muke wako katika kaburi lolote utakalojichagulia; hakuna yeyote kati yetu atakayekunyima kaburi lake, wala kukuzuia kumuzika marehemu muke wako.”


Biliha, mujakazi wa Rakeli, akapata mimba tena na kumuzalia Yakobo mutoto wa pili mwanaume.


Lea alipoona ameacha kuzaa, alimutwaa Zilpa, mujakazi wake, na kumupa Yakobo kusudi akuwe muke wake.


Kisha watu wa kabila la Nafutali, kiongozi wake akiwa Ahira mwana wa Enani,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite