6 Rakeli akasema: “Mungu amenitendea sawa, amesikia kilio changu na kunipa mutoto mwanaume.” Akamwita mutoto yule Dani.
Uliuona uovu niliotendewa, ee Yawe; uniamulie kwa wema maneno yangu.
Unipatie haki yangu, ee Mungu; uyatetee maneno yangu mbele ya watu wabaya; uniokoe na watu waongo na waovu.
Ee Yawe, Mungu wangu, unitetee, unitendee kulingana na haki yako. Usiwaache waadui zangu wanisimange.
Yawe atawasambaza kama maganda yanayopeperushwa na upepo unaovuma kutoka katika jangwa.
Basi, nikaenda, nikanunua mukaba kama vile Yawe alivyoniagiza, nami nikauvaa katika kiuno.
Juu ya kabila la Dani akasema hivi: “Dani ni mwana-simba anayeruka kutoka Basani.”
Dani na mwana wake Husimu.
Wana waliozaliwa na Biliha, mujakazi wa Rakeli, walikuwa Dani na Nafutali.
Biliha akapata mimba na kumuzalia Yakobo mutoto mwanaume.
Biliha, mujakazi wa Rakeli, akapata mimba tena na kumuzalia Yakobo mutoto wa pili mwanaume.
Na makabila haya yatasimama juu ya mulima Ebali wakati laana zitakapotolewa: Rubeni, Gadi, Aseri, Zebuluni, Dani na Nafutali.