Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 30:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Kwa hiyo Rakeli akamupa Yakobo mujakazi wake, Biliha akuwe muke wake, naye akalala naye.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 30:4
12 Referans Kwoze  

Sikiliza, Yawe anasema: ‘Nitaleta hasara katika jamaa yako mwenyewe. Nitawatwaa wake zako ukiona kwa macho yako mwenyewe na kumupa jirani yako, naye atalala nao waziwazi.


Wakati Israeli alipokuwa anakaa katika inchi ile, mwana wake Rubeni, akalala na Biliha, habara ya baba yake. Naye Israeli akasikia habari hizo. Yakobo alikuwa na wana kumi na wawili.


Akawaweka wajakazi na watoto wao mbele, kisha Lea na watoto wake, na nyuma kabisa wakafuata Rakeli na mwana wake Yosefu.


Lakini akawapa wana wa habara zake zawadi. Na wakati alipokuwa bado muzima, akawapeleka katika inchi ya upande wa mashariki, mbali na mwana wake Isaka.


Abrahamu akaoa muke mwingine, jina lake Ketura.


Zaidi ya hayo, Reuma, habara ya Nahori, vilevile alimuzalia watoto: Teba, Gahamu, Tahasi na Maka.


Basi, Sara akamwambia Abrahamu: “Fukuza mujakazi huyu na mwana wake. Haiwezekani kabisa mutoto wa mujakazi kurizi pamoja na mwana wangu Isaka.”


Basi, Sarai akamwambia Abramu: “Unajua kwamba Yawe hajanijalia kupata watoto. Umutwae Hagari mujakazi wangu. Labda nitapata watoto kutoka kwake.” Abramu akakubali shauri la Sarai.


Biliha akapata mimba na kumuzalia Yakobo mutoto mwanaume.


(Labani akamutoa Biliha, mujakazi wake, akuwe mujakazi wa Rakeli).


Hao saba ni wazao wa Yakobo na Biliha, mujakazi ambaye Labani alimupa binti yake Rakeli.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite