Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 30:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Rakeli akamujibu: “Mujakazi wangu Biliha yuko. Lala naye kusudi azae watoto pahali pangu, nami vilevile nipate watoto kutokana naye.”

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 30:3
6 Referans Kwoze  

Yosefu alijaliwa kuwaona watoto na wajukuu wa mwana wake Efuraimu na vilevile kuwapokea kama wana wake watoto wa Makiri mwana wa Manase.


Kwa nini mama yangu alinizaa? Kwa nini nilipata kunyonya?


Basi wazee waliokuwa kwenye mulango na watu wote waliokuwa pale wakajibu: “Ndiyo, sisi ni washuhuda. Yawe amufanye muke wako akuwe kama Rakeli na Lea, ambao wote wawili waliijenga nyumba ya Israeli. Nawe upate kustawi katika jamaa ya Efurata, ukuwe na sifa katika Betelehemu.


Lea alipoona ameacha kuzaa, alimutwaa Zilpa, mujakazi wake, na kumupa Yakobo kusudi akuwe muke wake.


Hao saba ni wazao wa Yakobo na Biliha, mujakazi ambaye Labani alimupa binti yake Rakeli.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite