3 lakini Mungu alisema: ‘Musikule matunda ya muti unaokuwa katikati ya bustani, wala musiuguse. Kama sivyo, mutakufa.’ ”
Kwa sababu hiyo Bwana anasema: “Mutoke kati yao, mujitenge nao. Musiguse kitu chochote kinachohesabiwa kuwa kichafu, nami nitawapokea.
Lakini sasa, unyooshe mukono wako uguse mali yake. Utaona namna atakutukana waziwazi!”
Basi, Mungu akamwambia katika hiyo ndoto: “Sawa. Ninajua kwamba umefanya hivyo kwa moyo safi. Mimi ndiye niliyekuzuia kutenda zambi mbele yangu. Ndiyo maana sikukuruhusu umuguse huyo mwanamuke.
“Usikule hiki”, “Usionje hiki,” “Usiguse hiki na hiki!”
Munionee huruma, munionee huruma, enyi warafiki zangu; maana mukono wa Mungu umenigusa.
Lakini sasa, unyooshe mukono wako umuguse mwili wake. Utaona namna atakutukana waziwazi.”
“Musiwaguse wachaguliwa wangu; musiwazuru manabii wangu!”
Sasa tuangalie mambo yale muliyoniandikia. Ni vizuri mwanaume asioe.
Mwanamuke akamujibu yule nyoka: “Tunaweza kula matunda ya miti katika bustani
Nyoka akamwambia mwanamuke: “Hamutakufa!