Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 3:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Kwa jasho la uso wako utajipatia chakula, mpaka utakaporudi katika udongo, maana ulitwaliwa katika udongo. Wewe ni mavumbi na utarudi katika mavumbi.”

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 3:19
33 Referans Kwoze  

mavumbi yanarudilia inchi tena, na roho inamurudilia Mungu aliyeipana.


viumbe vyote vingeangamia kabisa, naye mwanadamu angerudi katika mavumbi.


Ukiwageuzia mugongo, wanaogopa; ukiondoa pumzi yao, wanakufa na kurudi ndani ya mavumbi walimotoka.


Halafu Yawe Mungu akamwumba mwanaume kwa udongo, akamupulizia ndani ya pua pumzi ya uzima, na yule mwanaume akakuwa kiumbe chenye uzima.


Unawarudisha watu katika mavumbi walimotoka, ukisema: “Wanadamu, murudi!”


Yule aliyekuwa akiiba, asiibe tena, lakini ajikaze kufanya kazi peke yake kwa usawa kusudi apate kuwasaidia wakosefu.


Wote wanakufa na kwenda kwa nafasi moja. Wote wametoka katika mavumbi na wote watarudi katika mavumbi.


Abrahamu akasema: “Nimesubutu kuzungumuza na Bwana, mimi ninayekuwa mavumbi na majivu tu.


Wengi wa wale ambao wamekwisha kufa, watafufuka; wengine watapata uzima wa milele, na wengine watapata haya na kuzarauliwa milele.


Mwanadamu anafaidia nini kwa jasho lake lote hapa chini ya jua?


Nimekwisha kama maji yaliyomwangika; mifupa yangu yote imeteguka; moyo wangu ni kama inta, unayeyuka ndani yangu.


“Mimi ninaishi kama mugeni kati yenu. Munipatie sehemu ya udongo ya kaburi, kusudi nipate kumuzika marehemu muke wangu.”


Kwa maana, wakati tulipokuwa kwenu, tulikuwa tunawaagiza hivi: “Mutu yeyote asiyetaka kutumika, na hapaswi kula vilevile.”


Mungu anajua jinsi tulivyoumbwa; anajua kwamba sisi ni mavumbi.


Wandugu, munakumbuka namna tulivyosumbuka na kazi ngumu. Wakati tulipowahubiria Habari Njema ya Mungu, tulitumika muchana na usiku kusudi tusimulemee hata mutu mumoja kati yenu.


Hili nalo ni jambo baya sana. Atarudi kama vile alivyokuja. Amepata faida gani? Ametoa jasho kwa kukamata upepo.


Nilifanya bidii kuchunguza na kutafuta kwa hekima kila kitu kinachotukia chini ya mbingu. Hiyo ni taabu kubwa ambayo Mungu amewapa wanadamu.


Anayetangatanga mbali na njia ya ufahamu, atajikuta ametua kati ya wafu.


Maana Yawe ni mufalme; yeye anatawala mataifa.


Hata hivyo, wote wanakufa na kuzikwa, wote wanafunikwa na vidudu.


Na nyuma ngozi yangu kuharibika hivyo, nitamwona Mungu nikiwa na mwili huu.


akisema: Nilikuja uchi katika dunia, nitaondoka uchi katika dunia. Yawe amenipa, Yawe ametwaa. Jina la Yawe litukuzwe.


Adamu wa kwanza aliumbwa kwa udongo, yeye ni wa dunia, lakini Adamu wa pili alitoka mbinguni.


Kila mutu anapaswa kufa mara moja tu, na nyuma ya kufa, anahukumiwa na Mungu.


Udongo utakuzalia miiba na magugu, nawe utakula majani ya shamba.


Zaidi sana wanadamu, viumbe vya udongo, watu ambao musingi wao ni mavumbi, ambao wanaweza kupondwapondwa kama chawa!


Hapo mwanadamu naye anaenda kwenye kazi zake; naye anatumika mpaka magaribi.


Munajisumbua bure kuamuka asubui mapema na kuchelewa kwenda kupumzika magaribi, mujipatie chakula kwa jasho lenu. Mungu anatimiza mahitaji ya wapendwa wake hata wanapolala.


Adamu alikufa akiwa na umri wa miaka mia tisa na makumi tatu.


Kumbuka kwamba uliniumba kwa udongo. Utanirudisha tena katika mavumbi?


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite