Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 3:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Yule mwanaume akajibu: “Mwanamuke uliyenipa akae pamoja nami ndiye aliyenipa tunda la muti ule, nami nikakula.”

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 3:12
13 Referans Kwoze  

Anayeficha makosa yake hatafanikiwa, lakini anayeungama na kuyaacha atahurumiwa.


Hawakufahamu namna Mungu anavyowahesabia watu haki na wakatafuta kusimamisha haki yao wenyewe. Wakakataa kufuata njia ya kuhesabiwa haki mbele ya Mungu.


Nimeficha makosa yangu kama wengine? Nimekataa kutambua zambi zangu?


Lakini kwa kutaka kujipatia haki, yeye akamwuliza Yesu: “Mwenzangu ni nani?”


Mutu akijiangamiza kwa upumbafu wake, anaielekeza hasira yake kwa Yawe.


Kisha Yawe Mungu akasema: “Si vizuri huyu mwanaume kuwa peke yake. Nitamufanyia musaidizi wa kumufaa.”


Na huo ubavu Yawe Mungu alioutoa kwa yule mwanaume akaufanya kuwa mwanamuke, akamuleta kwa huyo mwanaume.


Basi, yule mwanaume akawapa majina nyama wote wa kufugwa, nyama wa pori na ndege wote wa anga. Lakini hakukupatikana musaidizi wa kumufaa.


Yawe akamwuliza: “Nani aliyekuambia kwamba uko uchi? Umekula tunda la muti nililokuamuru usikule?”


Saulo akajibu: “Watu waliwaacha wazima kondoo na ngombe bora kabisa kwa kumutolea Yawe, Mungu wako, lakini wengine wote tumewaangamiza.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite