Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 3:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Yawe akamwuliza: “Nani aliyekuambia kwamba uko uchi? Umekula tunda la muti nililokuamuru usikule?”

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 3:11
5 Referans Kwoze  

Kwa sababu hakuna mutu atakayehesabiwa haki mbele ya Mungu kwa kuwa anatii Sheria, maana Sheria inamusaidia mutu tu kwa kutambua kwamba amefanya zambi.


Yawe akasema: “Umefanya nini? Damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika udongo.


Umefanya hayo yote nami nimenyamaza. Unazani kwamba mimi ni kama wewe? Lakini sasa nitakukaripia, nitakugombeza waziwazi.


Naye akamujibu: “Nilisikia sauti yako katika bustani, nikaogopa maana nilikuwa uchi. Nikajificha.”


Yule mwanaume akajibu: “Mwanamuke uliyenipa akae pamoja nami ndiye aliyenipa tunda la muti ule, nami nikakula.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite