9 Hivyo, Esau akakwenda kwa Isimaeli, mwana wa Abrahamu, akaoa Mahalati binti ya Isimaeli, dada ya Nebayoti.
na Basemati binti ya Isimaeli, dada ya Nebayoti.
Wana wa Oholibama, muke wa Esau, walikuwa Yeusi, Yalamu na Kora. Kila mumoja wao akiwa mukubwa wa kabila lake. Hao wote ni wana wa Oholibama, binti ya Ana, muke wa Esau.
Basemati, muke wa Esau, alizaa Reueli. Wana wa Reueli walikuwa Nahati, Zera, Sama na Miza.
Esau alipokuwa na umri wa miaka makumi ine, akaoa wake wawili Wahiti: Yuditi binti ya Beri na Basemati binti ya Eloni.
Esau alioa wake Wakanaa: Ada binti ya Eloni Muhiti, Oholibama binti ya Ana, binti ya Sibeoni Muhivi,