Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 28:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Akatambua vilevile kwamba Yakobo alimutii mama yake na baba yake, akakwenda Padani-Aramu.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 28:7
11 Referans Kwoze  

Watoto muwatii wazazi wenu katika mambo yote, kwa maana jambo hili linamupendeza Bwana.


“Kusudi upate heri na uishi siku nyingi katika dunia.”


Ninyi watoto muwatii wazazi wenu mbele ya Bwana, kwa maana vile ndivyo inavyostahili.


Kama mutu akimuchekelea baba yake na kuzarau utii kwa mama yake, macho yake yataondolewa na kibombobombo wa pori na kuliwa na tai.


Mwana wangu, sikiliza mafundisho ya baba yako, wala usizarau mashauri ya mama yako;


Kila mumoja wenu anapaswa kuheshimu mama yake na baba yake, na kushika Sabato zangu. Mimi ni Yawe, Mungu wenu.


Uwaheshimu baba yako na mama yako, kusudi uishi maisha marefu katika inchi ninayokupatia mimi Yawe, Mungu wako.


Kwa hiyo, mwana wangu, sikiliza maneno yangu. Ondoka ukimbilie kwa kaka yangu Labani kule Harani.


Isaka alipokuwa na umri wa miaka makumi ine akamwoa Rebeka, binti ya Betueli, Musuria wa Padani-Aramu. Rebeka alikuwa dada ya Labani.


Esau akatambua kwamba Isaka alibariki Yakobo na kumutuma aende kuoa kule Padani-Aramu, na kwamba alipomubariki, alimukataza asioe mwanamuke Mukanana.


Basi, Esau akafahamu kwamba baba yake hapendezwi na wanawake wa Kanana.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite