Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 28:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Esau akatambua kwamba Isaka alibariki Yakobo na kumutuma aende kuoa kule Padani-Aramu, na kwamba alipomubariki, alimukataza asioe mwanamuke Mukanana.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 28:6
4 Referans Kwoze  

Hivyo Isaka akamwita Yakobo, akamubariki, akamwagiza akisema: “Usioe mwanamuke yeyote Mukanana.


Hapo Isaka akatetemeka sana, akasema: “Ni nani basi yule aliyewinda na kuniletea nyama ya mawindo, nami nimekwisha kula mbele haujakuja? Tena nimekwisha kumubariki. Hakika, amekwisha kubarikiwa!”


Isaka alipokuwa na umri wa miaka makumi ine akamwoa Rebeka, binti ya Betueli, Musuria wa Padani-Aramu. Rebeka alikuwa dada ya Labani.


Akatambua vilevile kwamba Yakobo alimutii mama yake na baba yake, akakwenda Padani-Aramu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite