11 Alipofika pahali fulani, akalala pale kwa sababu jua lilikuwa limetua. Akatwaa jiwe moja la pahali pale, akaliweka chini ya kichwa chake, akalala.
Basi, kwa kadiri tunavyoshiriki katika mateso mengi ya Kristo, ni kwa kadiri ile sisi vilevile tunafarijiwa sana kwa njia ya Kristo.
Yesu akamujibu: “Mbweha wako na makao yao ndani ya matundu, nao ndege wako na chicha, lakini Mwana wa Mutu hana nafasi ya kulala.”
Yakobo akaamuka asubui mapema, akatwaa lile jiwe alilokuwa ameliweka chini ya kichwa chake, akalisimika kama nguzo na kulitakasa kwa kulimiminia mafuta.
Tena Yakobo akawaambia wandugu zake: “Mukusanye mawe.” Nao wakakusanya mawe na kufanya lundo. Kisha wakakula chakula karibu na lundo lile la mawe.
Jua lilipokuwa likitua, Abramu akashikwa na usingizi muzito. Hofu na giza nene vikamufunika.
Akaita pahali hapo Beteli, ni kusema “Nyumba ya Mungu”. Jina la mbele la muji ule lilikuwa Luzi.