8 Sasa mwana wangu, sikiliza maneno yangu na utii ninayokuagiza.
Ninyi watoto muwatii wazazi wenu mbele ya Bwana, kwa maana vile ndivyo inavyostahili.
Mama yake akamwambia: “Laana yako inipate mimi, mwana wangu; wewe fanya ninavyokuagiza. Kwenda uniletee wale wana-mbuzi.”
Petro na mitume wengine wakajibu: “Inatupasa sisi kumutii Mungu kuliko watu!
Lakini Petro na Yoane wakawajibu: “Muamue ninyi wenyewe, ni haki mbele ya Mungu kuwatii ninyi kuliko kumutii Mungu?
Kwa hiyo, mwana wangu, sikiliza maneno yangu. Ondoka ukimbilie kwa kaka yangu Labani kule Harani.
Yawe akamwambia: “Mataifa mawili yako ndani ya tumbo lako; makabila mawili yatakayozaliwa nawe, yatatengana. Moja litakuwa lenye nguvu kuliko lingine, mukubwa atamutumikia mudogo.”
amwindie nyama na kumutengenezea chakula kitamu, akikule, apate kumubariki mbele ya Yawe mbele ya kufa kwake.
Kwenda kwenye kundi la mbuzi uniletee wana-mbuzi wawili wazuri, nimutengenezee baba yako chakula kitamu, kile anachopenda.