Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 27:42 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

42 Lakini Rebeka alipojua nia ya mwana wake mukubwa, akamwita mwana wake mudogo Yakobo, akamwambia: “Angalia, ndugu yako Esau anajifariji akikusudia kukuua.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 27:42
11 Referans Kwoze  

watu wanaofurahia kutenda maovu na kupendezwa na upotovu wa maovu,


Wanapiga mutu mukamilifu kwa uficho, wanamupiga kwa rafla bila kuogopa.


Wake wawili wa Daudi, Ahinoamu kutoka Yezereheli na Abigaili mujane wa Nabali, nao vilevile walikuwa wamekamatwa mateka.


Basi, Esau akamuchukia Yakobo kwa sababu ya baraka aliyokuwa amepewa na baba yake. Esau akawaza: “Siku za kilio cha baba zitakapokwisha, ndipo nitakapomwua ndugu yangu Yakobo.”


Kwa hiyo, mwana wangu, sikiliza maneno yangu. Ondoka ukimbilie kwa kaka yangu Labani kule Harani.


Yakobo alipowaona, akasema: “Hii ni kambi ya jeshi la Mungu!” Kwa hiyo akaita pahali pale “Kambi mbili”.


sistahili hata kidogo wema wote na uaminifu wote ulionitendea mimi mutumishi wako. Nilipovuka muto Yordani, sikukuwa na kitu isipokuwa fimbo; lakini sasa nina makundi haya mawili.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite