Basi, baba yake akasema: “Uniletee hiyo nyama nikule mawindo yako mwana wangu, nikubariki.” Kwa hiyo Yakobo akamupelekea chakula, naye akakula; akamupelekea divai vilevile, akakunywa.
Simeoni akawabariki na kumwambia Maria, mama yake: “Mutoto huyu amezaliwa kwa sababu ya kuwaangusha na kuwasimamisha watu wengi katika Israeli. Naye atakuwa kitambulisho kutoka kwa Mungu watu watakachokipinga,
Basi, Yakobo akamukaribia baba yake na kumubusu, na baba yake aliposikia harufu ya nguo zake, akamubariki akisema: “Hii ni harufu nzuri ya mwana wangu. Ni kama harufu ya shamba Yawe alilobariki!