Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 26:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Abimeleki akamwita Isaka na kumwambia: “Hakika huyo ni muke wako! Sababu gani ulisema kwamba ni dada yako?” Isaka akajibu: “Kwa sababu niliogopa kwamba ningeuawa kwa sababu yake.”

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 26:9
5 Referans Kwoze  

Nyuma ya kukaa kule kwa muda murefu, Abimeleki mufalme wa Wafilistini akachungulia kwenye dirisha akamwona Isaka akimukumbatia muke wake Rebeka.


Abimeleki akamwuliza: “Ni jambo gani hili ulilotutendea? Mumoja wa watu wangu angaliweza kulala na muke wako bila wasiwasi, nawe ungekuwa umeleta kosa juu yetu.”


Mufalme akamwita Abramu, akamwuliza: “Ni kitu gani hiki ulichonitendea? Mbona haukunijulisha kwamba Sarai ni muke wako?


Yesu akajibu: “Filipo, nimekwisha kuwa nanyi siku nyingi sasa, nawe haujanijua bado? Aliyeniona mimi amemwona Baba. Basi sababu gani unasema: ‘Utuonyeshe Baba?’


Petro alipotambua kwamba mambo yaliyotokea ni ya kweli akasema: “Sasa ninajua hakika kwamba Bwana alimutuma malaika wake kuniokoa katika mikono ya Herode na katika mabaya yote Wayuda waliotaka kunitendea.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite