Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 26:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Kwa hiyo, Isaka akajenga mazabahu kule na kumwabudu Yawe. Akapiga kambi kule, na watumishi wake wakachimba kisima.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 26:25
11 Referans Kwoze  

Nitakutolea sadaka za shukrani. Nitaomba kwa jina la Yawe.


Kwa hiyo, Abramu akaongoa hema, akakwenda kukaa karibu na mielo ya Mamure kule Hebroni. Kule akajengea Yawe mazabahu.


Musa akajenga mazabahu na kuita mazabahu hiyo “Yawe ni Bendera Yangu”,


Siku moja, Mungu akamwambia Yakobo: “Anza safari, uende kuishi Beteli na kunijengea mazabahu kule, mimi Mungu niliyekutokea wakati ulipomukimbia kaka yako Esau.”


Basi, akajenga mazabahu pahali pale na kuiita “Mungu ni Mungu wa Israeli”.


Walipofika pahali ambapo Mungu alipomwagiza, Abrahamu akajenga mazabahu na kupanga kuni juu yake. Kisha akamufunga Isaka mwana wake na kumulalisha juu ya kuni kwenye mazabahu.


pahali ambapo alikuwa amejenga mazabahu. Pale Abramu akamwomba Yawe kwa jina lake.


Noa akamujengea Yawe mazabahu, akatwaa mumoja katika kila aina ya nyama wanaohesabiwa kuwa safi na ndege anayehesabiwa kuwa safi, akamutolea Mungu sadaka za kuteketezwa kwa moto juu ya mazabahu.


Seti naye akapata mutoto mwanaume, akamwita Enosi. Hapo ndipo watu walipoanza kumwomba Yawe kwa jina lake.


Siku ileile watumishi wa Isaka walimufikia na kumupasha habari za kile kisima walichokuwa wamechimba, wakasema: “Tumepata maji!”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite