15 Wakaziba visima vyote vya maji ambavyo watumishi wa baba yake Abrahamu walikuwa wamechimba wakati alipokuwa muzima.
Abrahamu akamujibu: “Hawa wana-kondoo dike saba ninakupa kwa mukono wangu mwenyewe kama ushuhuda wangu kwamba mimi ndiye niliyechimba kisima hiki.”
Wakati ule Abrahamu alikuwa amemwonya Abimeleki juu ya kisima cha maji ambacho watumishi wa Abimeleki walikuwa wamemunyanganya.