8 Ikiwa mwanamuke yule hatapenda kukufuata mpaka huku, basi kiapo changu hakitakufunga, lakini kwa vyovyote vile usimurudishe mwana wangu kule.”
halafu mume wake akisikia jambo hilo naye hamupingi, muke wake atafungwa na kila kiapo au ahadi aliyofanya.
na baba yake akisikia ahadi hiyo naye hamupingi, yule binti atafungwa na kila kiapo na ahadi aliyofanya.
Stefano akamujibu: “Wandugu zangu na wababa zangu, munisikilize! Mungu mwenye utukufu alimutokea babu yetu mukubwa Abrahamu wakati alipokuwa angali katika inchi ya Mesopotamia, mbele hajahamia katika muji Harani.
Halafu mutajua ukweli, na ukweli utawaweka huru.”
Tutawaacha waishi, kusudi tusipate kuazibiwa kwa sababu ya kiapo tulichofanya.
Utakapofika kwa jamaa yangu, nao wasipokupa yule binti, basi, hautafungwa na kiapo changu.’