Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 24:54 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

54 Mutumishi wa Abrahamu na watu aliokuja nao wakakula, wakakunywa na kulala kule. Walipoamuka asubui, mutumishi yule akasema: “Ninaomba kurudi kwa bwana wangu.”

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 24:54
10 Referans Kwoze  

Lakini yeye akasema: “Tafazali, musinicheleweshe, kwa sababu Yawe amekwisha kufanikisha katika safari yangu. Ninaomba muniruhusu kurudi kwa bwana wangu.”


Basi, wakamwacha Rebeka aende na mutumishi wa Abrahamu na watu wake. Mulezi wa Rebeka vilevile alikwenda naye.


Usiulize: “Kwa nini nyakati za zamani zilikuwa bora kuliko za sasa?” Hauulizi hivyo kwa kutumia hekima.


Kuna mutu mwenye akili na maarifa ndani ya kazi? Yule atawatumikia wafalme; hatawatumikia watu wasiofaa.


Kisha, Ahimasi mwana wa Zadoki, akasema: “Uniruhusu nikimbie kumupelekea mufalme habari hizi kwamba Yawe amemukomboa toka katika nguvu za waadui zake.”


Basi, Yosefu akaagana na wandugu zake. Walipokuwa wanaondoka akawaonya akisema: “Musigombane katika njia!”


Nyuma Rakeli kuzaa Yosefu, Yakobo akamwambia Labani: “Uniruhusu nirudie kwetu, katika inchi yangu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite