5 Mutumishi akamwambia: “Labda mwanamuke yule atakataa kunifuata kuja huku, ikiwa hivyo, ni lazima nimurudishe mwana wako katika inchi ulikotoka?”
ukiapa kwa ukweli, kwa kufuatana na sheria, na kwa haki, kwa kusema “Kama vile Yawe anavyoishi”, halafu mataifa yatapata baraka kutoka kwangu, na kutukuzwa kwa sababu yangu.
Mwenye akili anatenda kila kitu kwa kufikiri, lakini mupumbafu anatembeza upumbafu wake.
Usitaje bure jina langu mimi Yawe, Mungu wako, maana mimi Yawe sitaacha kumwazibu yeyote anayetaja bure jina langu.
Kama ukikataa kuwaacha waondoke na ukiendelea kuwashikilia,
Wakamwita Rebeka na kumwuliza: “Utakwenda na mutu huyu?” Naye akajibu: “Nitakwenda.”
Uniapie kwamba utakwenda mpaka katika inchi yangu, kwa jamaa zangu, umutafutie mwana wangu Isaka muke.”
Abrahamu akamwambia: “Hapana! Angalia sana usimurudishe mwana wangu kule.
Nami nikamwambia bwana wangu: ‘Labda mwanamuke yule atakataa kunifuata kuja huku.’