Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 24:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Yule mutu akakuwa anamwangalia kwa uangalifu bila kusema lolote, apate kufahamu kama Yawe amefanikisha safari yake au sivyo.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 24:21
13 Referans Kwoze  

Wenye hekima wafikiri juu ya mambo haya, watambue wema wa Yawe.


Naye akaomba: “Ee Yawe, Mungu wa bwana wangu Abrahamu, ninakuomba unisaidie leo na umutendee mema bwana wangu Abrahamu.


Basi Yesu akarudia Nazareti pamoja nao, akaendelea kuwatii. Na mama yake alichunga maneno haya yote katika moyo wake.


Lakini Maria akachunga mambo hayo yote ndani ya moyo na kuyafikiri sana.


Mumushukuru Yawe kwa wema wake na maajabu yake kwa wanadamu.


Mumushukuru Yawe kwa wema wake na maajabu yake kwa wanadamu.


Mumushukuru Yawe kwa sababu ni muzuri! Wema wake unadumu milele!


Lakini yeye akasema: “Tafazali, musinicheleweshe, kwa sababu Yawe amekwisha kufanikisha katika safari yangu. Ninaomba muniruhusu kurudi kwa bwana wangu.”


Basi, akafanya haraka, akawamiminia ngamia maji ya mutungi wake katika birika, akakimbia kwenye kisima kuteka maji mengine na kuwakunywesha ngamia wake wote.


akisema: “Atukuzwe Yawe, Mungu wa bwana wangu Abrahamu, ambaye hajasahau wema na uaminifu wake kwa bwana wangu. Yawe ameniongoza mimi mwenyewe moja kwa moja mpaka kwa jamaa ya bwana wangu!”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite