Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 23:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Abrahamu akainama tena kwa heshima mbele ya wanainchi,

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 23:12
5 Referans Kwoze  

Kisha Abrahamu akasimama na kuinama kwa heshima mbele ya wanainchi Wahiti,


Wale wamalaika wawili wakafika katika muji wa Sodoma magaribi. Loti alikuwa ameketi kwenye mulango wa muji wa Sodoma. Alipowaona, akasimama kwenda kuwapokea, akainama kwa heshima.


Alipoinua macho yake, akaona watu watatu wakisimama mbali kidogo mbele yake. Mara tu alipowaona, akakimbia kutoka kwenye mulango wa hema yake, akakwenda kuwapokea. Alipowafikia akainama kwa heshima


“Hapana bwana. Tafazali unisikilize. Ninakupa shamba lote na pango linalokuwa mule; tena ninakupa mbele ya wanainchi wenzangu. Umuzike mule marehemu muke wako.”


akamwambia Efuroni, wanainchi wote wakisikia: “Ninakuomba, tafazali unisikilize. Nitakulipa bei kamili ya shamba lako, na ninakuomba upokee malipo haya kusudi nipate kumuzika mule marehemu muke wangu.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite