Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 23:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Efuroni mwenyewe alikuwa kati ya Wahiti hao waliokuwa wamekutanika kwenye mulango wa muji. Basi, Efuroni Muhiti, akamujibu Abrahamu mbele ya Wahiti wote pale kwenye mulango:

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 23:10
11 Referans Kwoze  

Wanaume wote waliokusanyika kwenye mulango wa muji ule wakakubaliana na Hamori na mwana wake Sekemu. Kisha, wanaume wote wakatahiriwa.


Basi, Hamori na mwana wake Sekemu, wakakwenda kwenye mulango wa muji, pahali pa mikutano, wakaongea na watu wao wakisema:


Abrahamu mbele ya Wahiti wote waliokutanika kwa mulango wa muji.


Yesu akaingia katika chombo akavuka tena ziwa kwenda upande wa magaribi, naye akafika katika muji wake.


Atawaongoza waamuzi wa tribinali kuhukumu kwa haki, nao walinzi wa muji atawapa nguvu.


Nilipokutana na wazee kwenye mulango wa muji na kutwaa nafasi yangu katika mukutano,


Kisha, yule mutumishi akatwaa ngamia kumi wa bwana wake akaondoka akiwa na zawadi nzuri za kila aina. Akasafiri kwenda katika muji Nahori alimokaa, katika inchi ya Mesopotamia.


aniuzishie lile pango lake la Makipela linalokuwa kwa mupaka wa shamba lake. Mumusihi aniuzishie nilifanye makaburi yangu. Anipatie kwa bei ya haki hapahapa mbele yenu.”


Basi wazee waliokuwa kwenye mulango na watu wote waliokuwa pale wakajibu: “Ndiyo, sisi ni washuhuda. Yawe amufanye muke wako akuwe kama Rakeli na Lea, ambao wote wawili waliijenga nyumba ya Israeli. Nawe upate kustawi katika jamaa ya Efurata, ukuwe na sifa katika Betelehemu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite