Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 22:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Akawaambia wale watumishi wake: “Mungoje hapa na huyu punda. Mimi na mwana wangu tutakwenda mpaka kule, tutamwabudu Mungu, kisha tutawarudilia.”

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 22:5
6 Referans Kwoze  

Abrahamu aliamini kwamba Mungu anaweza kumufufua Isaka na hivi akarudishiwa tena Isaka kama vile mwenye kufufuka.


Nasi vilevile tunazungukwa na kundi kubwa kama lile la wale walioshuhudia imani yao. Basi tutupilie mbali vitu vyote vinavyotusonga, nazo zambi zinazotufunga upesi na tukimbie kwa juhudi sana katika mashindano tunayowekewa.


Kwa siku ya tatu, Abrahamu aliinua macho akaona pahali pale kwa mbali.


Basi, Abrahamu akatwaa zile kuni, akamubebesha Isaka mwana wake. Yeye mwenyewe akatwaa moto na kisu katika mukono, wakaondoka pamoja.


Basi, Abrahamu akawarudilia wale watumishi wake, nao pamoja wakaondoka, wakarudi Beri-Seba. Abrahamu akakaa kule Beri-Seba.


Musa aliwaambia wale wazee: Mutungojee hapa mpaka tutakapowarudilia. Haruni na Huri wako pamoja nanyi. Yeyote anayekuwa na tatizo awaendee wao.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite