Mwanzo 21:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200215 Wakati maji yalipomwishia katika lile chupa, Hagari akamulalisha mwana wake chini ya muti. Gade chapit la |
Huyo mwanamuke akamwambia: “Kama vile Yawe Mungu wako anavyoishi, sina mukate hata kidogo. Niko tu na unga unaoweza kujaa mukono mumoja katika chungu na mafuta kidogo katika chupa. Nimefika hapa kuokota kuni, kisha niende kwangu kupika chakula hicho, mwana wangu na mimi tukule, kisha tungojee kufa.”