Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 21:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Wakati maji yalipomwishia katika lile chupa, Hagari akamulalisha mwana wake chini ya muti.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 21:15
9 Referans Kwoze  

Wakubwa wake wanawatuma watumishi wao maji; watumishi wanakwenda kwenye visima, lakini hawapati maji; wanarudi na vyombo vitupu. Kwa ajili ya haya na mahangaiko wanaangalia chini.


Zaburi ya Daudi wakati alipokuwa katika jangwa la Yudea.


Basi, mufalme Yoramu akaondoka pamoja na mufalme wa Yuda na mufalme wa Edomu. Nyuma ya kusafiri kwa muda wa siku saba, maji yakawaishia. Hawakukuwa na maji kwa ajili ya waaskari wao wala kwa nyama wao.


Mufuaji wa vyuma anatwaa kipande cha chuma, anakiyeyusha kwa moto na kufua sanamu. Anakipondaponda na nyundo kusudi akipatie umbo kwa mikono yake yenye nguvu. Wakati wote huo yeye anasikia njaa na kuchoka; anasikia kiu na nguvu kuregea.


Hivyo, asubui mapema, Abrahamu akatwaa chakula na chupa la maji, akamupa Hagari na kumubebesha mutoto juu ya bega. Akamufukuza pamoja na mwana wake. Hagari akaondoka, akakuwa anatangatanga katika jangwa la Beri-Seba.


Naye akakwenda kando, akaikaa umbali wa kama metre mia moja hivi, akisema ndani ya moyo wake: “Heri nisimwone mwana wangu akikufa.” Na alipokuwa amekaa pale, mutoto akalia kwa sauti kubwa.


Huyo mwanamuke akamwambia: “Kama vile Yawe Mungu wako anavyoishi, sina mukate hata kidogo. Niko tu na unga unaoweza kujaa mukono mumoja katika chungu na mafuta kidogo katika chupa. Nimefika hapa kuokota kuni, kisha niende kwangu kupika chakula hicho, mwana wangu na mimi tukule, kisha tungojee kufa.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite