Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 21:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Jambo hili lilimuhuzunisha sana Abrahamu kwa sababu Isimaeli vilevile alikuwa mutoto wake.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 21:11
6 Referans Kwoze  

Maadibisho yoyote wakati yanapotolewa yanaonekana kama ni tendo la huzuni wala si la furaha. Lakini kwa mwisho yanawaletea wale waliofundishwa nayo, maisha ya amani na ya haki.


Basi, Abrahamu akamwambia Mungu: “Ingekuwa heri ukubali ahadi hiyo yako imwelekee Isimaeli.”


“Yeye anayemupenda baba yake au mama yake kuliko mimi, hastahili kuwa wangu, na yeyote anayemupenda mwana wake au binti yake kuliko mimi hastahili kuwa wangu vilevile.


Lakini Mungu akamwambia Abrahamu: “Usihuzunike kwa sababu ya mutoto huyu, wala huyo mujakazi wako. Jambo lolote Sara atakalokuambia ulifanye. Maana ni kwa njia ya Isaka utapata wazao watakaoitwa wako.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite