Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 2:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Hivi ndivyo mbingu na dunia zilivyoumbwa. Siku ile Yawe Mungu alipoumba mbingu na dunia,

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 2:4
27 Referans Kwoze  

Hiki ndicho kitabu cha uzao wa Adamu. Wakati Mungu alipowaumba wanadamu, aliwaumba kwa mufano wake.


Bwana Mungu Mwenye Uwezo anasema: “Mimi ni Alfa na Omega.” Ni yeye anayekuwa, aliyekuwa na anayekuja.


Mvua ina baba? Au nani amezaa matone ya umande?


Watu walipoona hivyo, walianguka uso mpaka chini na kusema: “Yawe ndiye Mungu! Yawe ndiye Mungu!”


Yawe ni shujaa kwa vita; Yawe ndilo jina lake.


Hawa ndio wazao wa Esau ni kusema Edomu.


Mungu akaona kwamba kila kitu alichofanya ni kizuri kabisa. Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya sita.


Mungu akaona kwamba mwangaza ule ni muzuri. Kisha Mungu akatenganisha mwangaza na giza.


Njia ya Mungu ni kamilifu. Ahadi ya Yawe ni ya kuaminika. Yeye ni ngao kwa wote wanaomukimbilia.


akaomba kwa sauti akisema: “Ee Yawe, Mungu wa babu zetu, wewe ndiwe Mungu unayekuwa mbinguni! Wewe unatawala falme zote katika dunia, una uwezo na nguvu, wala hakuna anayeweza kukupinga.


Sasa haya ni majina ya wana wa Lawi na wazao wao: Gersoni, Kohati na Merari. Lawi aliishi miaka mia moja makumi tatu na saba.


Hawa ndio wazao wa Esau, baba ya Waedomu katika inchi ya milima ya Seiri.


Hawa ndio wazao wa Isaka mwana wa Abrahamu.


Hawa ndio wazao wa Isimaeli mwana wa Abrahamu ambaye Hagari Mumisri aliyekuwa mujakazi wa Sara alimuzalia Abrahamu.


Hawa ndio wazao wa Semu. Miaka miwili nyuma ya yale mafuriko ya maji, Semu akiwa na umri wa miaka mia moja, alizaa Aripakisadi.


Nyuma ya mafuriko ya maji, Semu, Hamu na Yafeti, wana wa Noa, walipata watoto wanaume na wanawake. Hawa ndio wazao wao:


Mungu akawabariki na kuwaambia: “Muzae, muongezeke, na mujaze inchi na kuitawala. Mutawale samaki wa bahari, ndege wa anga, na kila kiumbe chenye uzima kinachotembea katika dunia.”


Hapo mwanzo, Mungu aliumba mbingu na dunia.


Nikasikia malaika anayekuwa na uwezo wa kuamuru maji akisema: “Ewe Mutakatifu unayekuwa na uliyekuwa, wewe unahukumu kufuatana na haki.


wakisema: “Tunakushukuru wewe Bwana wetu, Mungu Mwenye Uwezo, unayekuwa na uliyekuwa, kwa maana umetumia uwezo wako mukubwa nawe ukasimika ufalme wako.


Ni mimi Yoane ninayewaandikia ninyi makanisa saba munaokuwa katika jimbo la Azia. Ninawatakia neema na amani kutoka kwa Mungu anayekuwa, aliyekuwa na anayekuja, na kutoka kwa roho saba wanaokuwa mbele ya kiti chake cha kifalme,


Yawe, Mufalme na Mukombozi wa Israeli, Yawe wa majeshi anasema hivi: Mimi ni wa kwanza na wa mwisho; hakuna mungu mwingine isipokuwa mimi.


Wewe ndiwe mukubwa, unafanya maajabu; wewe peke yako ndiwe Mungu.


Mungu akasema: “Mwangaza ukuwe.” Mwangaza ukakuwa.


Mungu akaibariki siku ya saba na kuitakasa, maana kwa siku hiyo Mungu alipumzika kisha kazi yake yote ya kuumba.


Ulikuwa wapi nilipoiweka misingi ya dunia? Uniambie, kama una maarifa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite