Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 2:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Kisha Yawe Mungu akasema: “Si vizuri huyu mwanaume kuwa peke yake. Nitamufanyia musaidizi wa kumufaa.”

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 2:18
10 Referans Kwoze  

Vilevile, ninyi waume, mukae na wake wenu mukifahamu kwamba wao ni kiumbe kizaifu. Munapaswa vilevile kuwapa heshima kwa sababu watapokea pamoja nanyi zawadi ya uzima. Mufanye hivi kusudi maombi yenu yasizuizwe.


Anayemupata muke amepata kizuri; ni zawadi kutoka kwa Yawe.


Yule mwanaume akajibu: “Mwanamuke uliyenipa akae pamoja nami ndiye aliyenipa tunda la muti ule, nami nikakula.”


Siku moja, Naomi mama mukwe wa Ruta akamwambia: “Inanipasa kwangu kukutafutia mume kusudi upate uheri.


Mutu akiona kwamba hamutendei muchumba wake vizuri, naye akitawaliwa na tamaa kwamba wangepaswa kuoana, basi afanye sawa vile anavyotaka. Yeye hafanyi zambi, waoane tu.


Mungu akaona kwamba kila kitu alichofanya ni kizuri kabisa. Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya sita.


Basi, yule mwanaume akawapa majina nyama wote wa kufugwa, nyama wa pori na ndege wote wa anga. Lakini hakukupatikana musaidizi wa kumufaa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite