Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 19:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 akawaambia: “Wandugu zangu, ninawasihi musitende uovu ule.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 19:7
13 Referans Kwoze  

Mukumbuke vilevile watu wa Sodoma na Gomora na wa miji iliyokuwa kandokando wanaokuwa sawasawa na wamalaika hawa. Walifanya uasherati na mambo ya kimwili yasiyokuwa ya kawaida ya asili. Watu hawa wanapokea hukumu ya moto wa milele kuwa mufano wazi kwa watu wote.


Kwa sababu hii Mungu aliwaacha wajichafue wenyewe kwa kufuata tamaa ya mioyo yao na kutendeana mambo ya haya wao kwa wao.


Kutokana na mutu mumoja, yeye aliumba watu wa mataifa yote kusudi waishi katika dunia yote. Aliwapangia nyakati na kukata mipaka ya inchi wanayopaswa kukaa ndani yake.


Lakini yule muzee mwenye nyumba akatoka inje, akawaambia: “Sivyo wandugu zangu. Ninawasihi musitende uovu ule. Huyu ni mugeni wangu. Musimutendee ubaya ule.


Ataishi pamoja nawe pahali atakapochagua katika moja ya makao yako, pahali panapomupendeza. Usimutese.


Kama mwanaume yeyote akilala na mwanaume mwenzake sawa vile ni mwanamuke, basi, wote wawili wanapaswa kuuawa maana wamefanya jambo linalokuwa chukizo na damu yao itakuwa juu yao wenyewe.


Usilale na mwanaume mwenzako kama vile ni mwanamuke. Hilo ni chukizo.


Lakini mbele ya kulala usiku, wanaume wote wa muji wa Sodoma, vijana na wazee, bila kubaki hata mumoja, wakazunguka nyumba ya Loti.


Loti akatoka inje, akafunga mulango nyuma yake,


Angalia, nina wabinti wawili ambao bado hawajalala na mwanaume. Muniruhusu niwape hao wabinti muwatendee kama vile munavyopenda. Lakini musiwatendee lolote wanaume hawa kwa sababu ni wageni wangu.”


Siku moja, Gali mwana wa Ebedi alikwenda pamoja na wandugu zake kukaa Sekemu. Watu wa Sekemu wakamuwekea tumaini.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite