Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 19:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Wale wamalaika wawili wakafika katika muji wa Sodoma magaribi. Loti alikuwa ameketi kwenye mulango wa muji wa Sodoma. Alipowaona, akasimama kwenda kuwapokea, akainama kwa heshima.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 19:1
15 Referans Kwoze  

Kutoka pale, wale watu wakashika njia kuelekea Sodoma, lakini Yawe akabaki, akisimama pamoja na Abrahamu.


Musisahau kuwakaribisha wageni, maana kwa kufanya hivi wamoja wamewakaribisha wamalaika pasipo kujua.


Musafiri hakulala inje ya nyumba yangu; nilimufungulia mulango mupita njia.


Ni vile ilivyokuwa katika siku za Loti. Watu walikuwa wakikula na kunywa, wakinunua na kuuzisha, wakipanda mbegu na kujenga.


Hawa ndio wazao wa Tera, baba ya Abramu, Nahori na Harani. Harani alikuwa baba ya Loti.


Kisha wale watu wakaondoka, wakafika pahali walipoweza kuona muji wa Sodoma; naye Abrahamu akawasindikiza.


Akasema: “Bwana zangu, karibu katika nyumba yangu mimi mutumishi wenu. Munaweza kunawa miguu na kulala kwangu usiku wa leo. Asubui mapema mutaweza kuendelea na safari yenu.” Lakini, wao wakasema: “Hapana! Sisi tutalala huku katika barabara.”


Lakini wale wageni wakanyoosha mikono yao, wakamukokotea Loti ndani ya nyumba na kufunga mulango.


Nilipovaa gunia kwa kuomboleza, nikageuka kuwa wimbo kwao.


Abramu akabaki katika inchi ya Kanana na Loti akakaa kati ya miji iliyokuwa katika bonde, akahamishia kambi yake Sodoma.


Abrahamu akainama tena kwa heshima mbele ya wanainchi,


Hapo Yosefu akawaondoa wana wake kwenye magoti ya baba yake, kisha akainama kwa heshima.


Boazi akakwenda kwa nafasi ya kufanyia mukutano kule kwenye mulango wa muji, akaikaa chini. Kisha yule ndugu ya Elimeleki ambaye Boazi alikuwa amemutaja, akapita karibu na pale. Boazi akamwita, akasema: “Kuja, uikae hapa ndugu.” Basi yule mutu akakuja na kuikaa pale.


Nilipokutana na wazee kwenye mulango wa muji na kutwaa nafasi yangu katika mukutano,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite