Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 18:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Abrahamu na Sara walikuwa wazee sana, naye Sara hangeweza tena kuzaa.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 18:11
14 Referans Kwoze  

Hapo Abrahamu akainama uso mpaka chini, akacheka ndani ya moyo wake akiwaza: “Itawezekana kweli mutoto kuzaliwa kwa muzee wa miaka mia moja? Na namna gani, Sara ambaye umri wake ni miaka makumi tisa, ataweza kupata mutoto?”


Abrahamu aliamini kwamba Mungu anaweza kumufufua Isaka na hivi akarudishiwa tena Isaka kama vile mwenye kufufuka.


Hata Elizabeti wa jamaa yako, amepata mimba, naye atazaa mutoto mwanaume, ijapokuwa yeye ni muzee. Yeye aliyekuwa akiitwa tasa, sasa huu ni mwezi wa sita wa mimba yake.


Zakaria akamwuliza yule malaika: “Kitu gani kitakachonijulisha kwamba maneno hayo ni ya kweli? Mimi ni muzee, na muke wangu amekwisha kuzeeka sana.”


Lakini hawakukuwa na mutoto, kwa maana Elizabeti alikuwa tasa, tena wote wawili walikuwa wazee sana.


Mwanamuke yeyote anapokuwa na ugonjwa wa mwezi, atakuwa muchafu kwa muda wa siku saba. Mutu yeyote atakayemugusa mwanamuke yule atakuwa muchafu mpaka magaribi.


Halafu Rakeli akamwambia baba yake: “Tafazali baba, usiuzike, maana siwezi kusimama mbele yako kwa sababu niko katika siku zangu.” Basi, Labani akatafuta sanamu za miungu yake, lakini hakuzipata.


Abrahamu alikuwa na umri wa miaka makumi tisa na tisa alipotahiriwa.


Kisha akaongeza: “Ni nani angeweza kumwambia Abrahamu kwamba mimi Sara nitanyonyesha watoto? Tena nimemuzalia mutoto mwanaume katika uzee wake!”


Sasa Abrahamu alikuwa muzee wa miaka mingi, naye Yawe alikuwa amemubariki katika kila hali.


Sara, muke wa bwana wangu katika uzee wake, alimuzalia bwana wangu mutoto; na bwana wangu amemupa yule mutoto mali yake yote.


Wakati huu, Yoshua alikuwa muzee wa miaka mingi. Basi, Yawe akamwambia: “Wewe sasa umekuwa muzee wa miaka mingi, na kumebaki bado sehemu kubwa za inchi ambazo hazijatwaliwa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite