Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 16:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Yule malaika wa Yawe akamwambia: “Rudi kwa bibi mukubwa wako Sarai na umutii.”

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 16:9
9 Referans Kwoze  

Sherti watumwa watii wabwana wao katika mambo yote na kuwapendeza, wakiepuka kubishana nao


Mukuwe na utii ninyi kwa ninyi kwa kumuheshimu Kristo.


Mutawala akikukasirikia, usiache kazi; makosa makubwa yanaweza kufutwa ukiwa munyenyekevu.


Lakini Abramu akamwambia Sarai: “Mujakazi wako yuko chini ya mamlaka yako. Umutendee jinsi unavyopenda.” Basi, Sarai akamutesa Hagari mpaka akatoroka.


Malaika akamwuliza: “Hagari, mujakazi wa Sarai! Unatoka wapi na unakwenda wapi?” Hagari akamujibu: “Ninamukimbia bibi mukubwa wangu Sarai.”


Zaidi ya hayo, malaika wa Yawe akamwambia Hagari: “Nitawazidisha wazao wako hata wasiweze kuhesabika kwa wingi wao.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite