9 Yule malaika wa Yawe akamwambia: “Rudi kwa bibi mukubwa wako Sarai na umutii.”
Sherti watumwa watii wabwana wao katika mambo yote na kuwapendeza, wakiepuka kubishana nao
Mukuwe na utii ninyi kwa ninyi kwa kumuheshimu Kristo.
Mutawala akikukasirikia, usiache kazi; makosa makubwa yanaweza kufutwa ukiwa munyenyekevu.
Lakini Abramu akamwambia Sarai: “Mujakazi wako yuko chini ya mamlaka yako. Umutendee jinsi unavyopenda.” Basi, Sarai akamutesa Hagari mpaka akatoroka.
Malaika akamwuliza: “Hagari, mujakazi wa Sarai! Unatoka wapi na unakwenda wapi?” Hagari akamujibu: “Ninamukimbia bibi mukubwa wangu Sarai.”
Zaidi ya hayo, malaika wa Yawe akamwambia Hagari: “Nitawazidisha wazao wako hata wasiweze kuhesabika kwa wingi wao.”